JICHO KWA JICHO; Tutabaki Na Dunia Ya Vipofu.

By | January 23, 2015
Kama tunakubaliana ni JICHO KWA JICHO basi tukubaliane kwamba dunia nzima tutabaki vipofu. Kama tunakubaliana ni JINO KWA JINO, tukubali pia kubaki vibogoyo dunia nzima. Kama tutakubaliana UPANGA KWA UPANGA pia tujiandae kwa mafuriko ya damu duniani. Tukisema CHUKI KWA CHUKI tujiandae kuishi dunia yenye simanzi kubwa. SOMA; Sababu 10

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz