Hakuna Kitu Chenye Maana…

By | January 30, 2015
Hakuna kitu chenye maana duniani, Ila sisi wenyewe ndio tunavipa vitu maana. Ukiweza kulijua hili, utajipunguzia matatizo mengi sana. Kwa mfano kama unaona dhahabu ina maana, kuliko shaba, kumbuka vyote hivi ni madini ambayo yanapatikana kwenye ardhi. Tumeweka maana kubwa kwenye dhahabu kwa sababu haipatikani kirahisi kama shaba. Kama nyama

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz