USHAURI ADIMU; Tangaza Kazi Yako, Usione Aibu Wala Kujali Wengine Watakuonaje.

By | March 14, 2015
Katika moja ya changamoto kubwa sana ambayo watu wanaipata na inawazuia kufikia mafanikio ni kushindwa kutangaza kazi zao. Na hii inakwenda sana kwa wale ambao wanafanya kazi binafsi. Kwa mfano kama unapika mandazi matamu sana, ila anayejua kuhusu mandazi hayo ni wewe na familia yako tu, je nafikiri unabiashara hapo?

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz