Mambo muhimu ya kuzingatia wakati unaajiri kwenye biashara yako.

By | April 13, 2015
Katika makala ya wiki iliyopita tuliona mteja wa kwanza na wa muhimu sana kwenye biashara yako. Tulijifunza kwmaba mteja huyu ni muhimu sana na ndiye wa kwanza kuridhishwa kabla hata mteja mwingine hajafika kwenye biashara yako. Mteja huyu ni mfanyakazi wako au msaidizi katika biashara yako. Tuliona kwamba msaidizi yeyote

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz