UKURASA WA 159; Njia Bora Ya Kuweza Kufanya Kitu Unachohofia Kufanya.

By | June 8, 2015
Hofu ni moja ya vitu ambavyo vinawazuia watu wengi kuweza kupiga hatua kwenye maisha yao. Hofu imewafanya watu wengi kushindwa kuzichangamkia fursa zinazowazunguka na hivyo kushindwa kufikia mafanikio kwenye maisha. Moja ya hofu kubwa zinazowazuia wengi kupata maendeleo ni hofu ya kupoteza. Mtu akishakuwa na kitu, hufanya kila lililo ndani

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In