UKURASA WA 201; Kama Unataka Kufanikiwa Achana Na Demokrasia Na Kuwa Dikteta.

By | July 20, 2015
Ngoja niende moja kwa moja, kama unataka kufikia mafanikio makubwa kwenye maisha yako, basi achana na demokrasia. Ukiendekeza demokrasia na akili yako mwenyewe nakuhakikishia hutafika mbali. Unajua kwa nini? Kwa sababu ukiipa akili yako nafasi ya kujieleza tu, umekwisha, utaisikiliza na mwishowe hutofanya. Unahitaji kuwa dikteta wa akili yako ndio

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz