UKURASA WA 216; Chunga Vidole Vyako, Na Ulimi Wako Pia.

By | August 4, 2015
Wahenga walisema, chunga ulimi wako, kwa sababu ulimi ni kiungo kidogo ila kinaweza kukuingiza kwenye matatizo makubwa. Walikuwa sahihi sana. Ila nafikiri kama wahenga hawa wangekuwa wanaishi kipindi hiki, wangeongeza kitu kingine muhimu sana ambacho ni vidole. Kipindi wanaishi wahenga vidole havikuwa shida sana, ila sasa hivi vidole vyako vinaweza

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz