UKURASA WA 236; Changamoto Mbili Kubwa Utakazokutana Nazo Wakati Wa Mabadiliko.

By | August 24, 2015
Kama unafanya kazi yoyote kubwa inayochochea mabadiliko kwa wengine, hongera sana. Ni kazi nzuri lakini ni ngumu na hivyo inahitaji moyo sana, vinginevyo ni rahisi sana kukata tamaa. MABADILIKO NI MAGUMU, LAKINI LAZIMA YAFANYIKE. HAKUNA KINACHOWEZA KUDUMU MILELE. Kama tunavyokubaliana, kwanza huwezi kumbadili mtu yeyote, watu hawapendi kubadilishwa, bali wanabadilika

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz