Matatizo yote kwenye biashara yanaanza na kitu hiki kimoja.

By | August 24, 2015
Wewe kama mfanyabiashara, kipato unachopata kinatokana na fedha ambazo mteja analipa. Gharama zote za kuendesha maisha yako zinazotokana na biashara ni kwa sababu kuna mteja ambaye ametoa fedha zake ili kupata huduma au bidhaa unazotoa. Kwa kifupi tunaweza kusema kwamba bosi hasa wa biashara yako ni mteja wako. Hii ni

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz