FALSAFA MPYA YA MAISHA; Hakuna Kisichokuwa Na Changamoto.

By | September 6, 2015
Karibu kwenye falsafa yetu mpya ya maisha. Kumbuka kama tulivyokubaliana, maisha bila ya falsafa ni maisha ambayo hayana thamani ya kuishi. Kama huna falsafa inayokuongoza kwenye maisha, utajikuta unafanya vitu ambavyo havina msaada kwenye maisha yako. Na hapa tunatengeneza falsafa mpya kwa sababu falsafa tunazoishi sasa ndio zimekuwa chanzo kikubwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: FALSAFA MPYA YA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz