Mambo 20 niliyojifunza kwenye kitabu THE LIFE CHANGING MAGIC OF TYDING UP.

By | September 6, 2015
Hiki ni kitabu kinachotoa mbinu na maarifa ya kuweka kupangilia vitu vyako vizuri. Ukweli ni kwamba kila mmoja wetu ana vitu vingi zaidi ya anavyohitaji. Lakini linapokuja swala la kuachana na vitu hivyo, iwe ni kwa kutupa au kwa kugawa inakuwa vigumu sana. Kupitia kitabu hiki unajifunza mbinu za kufanya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: UCHAMBUZI VITABU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz