UKURASA WA 259; Kwa Nini Hujiheshimu?

By | September 16, 2015
Ili watu wakuheshimu ni lazima wewe mwenyewe kwanza ujiheshimu. Ili ufikie mafanikio makubwa kwenye maisha yako ni lazima ujiheshimu. KUJIHESHIMU NDIO KUTAKUWEZESHA KUFIKIA CHOCHOTE UNACHOTAKA. Lakini watu wengi wamekuwa hawajiheshimu, na hii imekuwa inawazuia kufikia mafanikio makubwa kwenye maisha yao. Na kujiheshimu ninakozungumzia hapa hakuishii tu wewe kuwa mtu mwema

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz