UKURASA WA 260; Kabla Hujasema Ndiyo….

By | September 17, 2015
Wote tunakubaliana kwamba hatuwezi kufanya kila kitu ambacho tunatamani kufanya. Na pia hatuwezi kukubali kila kitu kinachokuja mbele yetu. Hii ni kwa sababu tuna mambo mengi na muhimu ya kufanya na wakati huo huo muda sio rafiki kwetu. Hivyo basi tunahitaji kuwa makini sana ni wakati gani wa kusema NDIYO

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz