UKURASA WA 275; Kama Watu Wote Wangekuwa Vipofu…….

By | October 2, 2015
Mara nyingi adui yetu mkubwa sio macho yetu wenyewe, bali macho ya wengine. Kuna watu wengi ambao wamejikuta wakifanya mambo ambayo sio muhimu kwao ila wanafanya tu ili waonekane nao wanafanya au wapo. Sasa hebu jiulize, kama watu wote duniani wangekuwa vipofu, na wewe pekee ndiye unayeona, je ungekuwa na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz