UKURASA WA 287; Muogope Sana Mtu Huyu….

By | October 14, 2015
Kwanza, sikufundishi woga, hakuna kitu kibaya kama woga. Pili, kuna mtu huyu mmoja unahitaji kumuogopa, japo kwa muda mchache tu. Kwa kumwogopa mtu huyu japo kwa muda mchache tu, hakuna utakachopoteza na utafaidika kwa mengi. Au kama kumwogopa bado ni vigumu kwako basi mwepuke. Maana huyu ni mtu hatari kwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz