Kwa nini mchanganuo wa biashara yako ni muhimu sana kwako.

By | October 19, 2015
Wafanyabiashara wengi huwa hawaandai michanganuo ya biashara yao kwa matumizi yao wenyewe. Wengi hulazimika kuandaa michanganuo pale ambapo wanahitajika kufanya hivyo na taasisi mbalimbali. Labda mfanyabiashara anataka kuchukua mkopo na moja ya vigezo na masharti ya mkopo ni kuwasilisha mchanganuo wa biashara na jinsi mkopo huo utakavyotumika. Wafanyabiashara wengi huandaa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz