UKURASA WA 301; Dunia Mbili Unazoishi….

By | October 28, 2015
Katika wakati wowote kwenye maisha yako unaishi kwenye dunia hizi mbili, Dunia ya kwanza ni ile inayotengenezwa na maisha yako ya kazi. Hii inatokana na kile unachofanya ili kutengeneza kipato chako cha kuendesha maisha. Inaweza kuwa kuajiriwa, kujiajiri au kufanya biashara. Dunia ya pili ni ile unayotengenezwa na maisha yako

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz