Ndio, hakuna jipya, lakini bado unahitaji kujifunza “KILA SIKU”.

By | November 3, 2015
Habari za leo rafiki? Naamini uko poa sana, rafiki yako niko vizuri sana. Karibu tena kwenye mazungumzo yetu haya muhimu sana kama marafiki. Karibu tushirikishane yale muhimu katika safari yetu hii tuliyochagua, safari ya kuwa tofauti na kuwa bora sana kila siku. Leo nataka tushirikishane jambo moja muhimu ambalo limekuwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: ONGEA NA COACH MAKIRITA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz