UKURASA WA 308; Kama Ungekuwa Unaishi Jangwani….

By | November 4, 2015
Ugumu wa maisha yetu unaanzia kwenye macho ya watu wengine, wale wanaotuzunguka. Hawa wamekuwa chanzo kikubwa kwetu kuwa na maisha ambayo hatuyapendi, kufanya kazi ambazo hatuzipendi na kuwa na vitu ambavyo hatuvifurahii. Binadamu tunapenda uhuru lakini hatupo huru kwa wale wanaotuzunguka. Huwa tunafungwa na watu hawa, kwa kujikuta tukifanya kile

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz