UKURASA WA 309; Kama Usingeacha….

By | November 5, 2015
Kuna matatizo makubwa mawili pale linapokuja swala la kuchukua hatua ili kuweza kufikia malengo na mipango yako. wengi huwa wanafikiri tatizo ni moja tu na hivyo wanapolivuka wanakuwa hawajajiandaa na tatizo lingine ambalo ni kubwa zaidi. Tatizo la kwanza ni KUANZA. Ndio watu wengi wana malengo na mipango mizuri sana.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz