UKURASA WA 313; Ni Leo Tu…..

By | November 9, 2015
Watu wengi wana malengo na mipango mizuri sana. Lakini sio wote wanaofikia malengo na mipango hii. Subiri, sio wote ambao hata wanaanza kuifanyia kazi. Kuna wengi wanaoishia kwenye hatua hii ya kupanga tu, lakini inapofikia utekelezaji wanasogeza mbele, nitafanya kesho, au nikiwa tayari, au kitu fulani kikiisha. Tabia ya kuahirisha

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz