UKURASA WA 314; Umegoma Kuishi….

By | November 10, 2015
Kwa hali ilivyo hakuna namna nyingine ya kulisema hili bali kusema kwamba umegoma kuishi. Unapokazana kufanya mambo ambayo hayaendani kabisa na maisha, iwe unajua au hujui ni kwamba umegoma kuishi. Unapokazana kusema kwamba maisha hayako sawa, maana yake umegoma kuishi, kwa sababu nani alikuahidi kuwa yatakuwa sawa? Unapolalamika au kulaumu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz