Swali moja muhimu sana ninalojiuliza kila siku asubuhi.

By | November 24, 2015
Habari za leo rafiki? Naamini upo vizuri sana na maisha yako yanaendelea kuwa bora kadiri siku zinavyokwenda. Vizuri na hongera sana kwa hilo. Karibu tena kwenye mazungumzo yetu haya mazuri na muhimu sana, ambapo tunashirikishana mambo mbalimbali yanayohusu mafanikio na kuwa na maisha bora. Leo nitakushirikisha swali moja muhimu sana

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: ONGEA NA COACH MAKIRITA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz