UKURASA WA 332; Kama Haisaidii Inaumiza….

By | November 28, 2015
Hakuna kati kati kwenye hilo, Ni iwe inasaidia au la inaumiza. Kama kazi unayofanya haiwasaidii watu basi inawaumiza, na kwa kufanya kazi ya aina hiyo, huwezi kupata mafanikio makubwa. Kama biashara unayofanya haisaidii watu, basi inawaumiza, na kwa aina hiyo ya biashara usijioteshe kwamba siku moja utakuwa na mafanikio makubwa.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz