Njia nne za kujua kama biashara unayotaka kufanya itakuwa na wateja.

By | November 30, 2015
Mara nyingi watu wanaotaka kuingia kwenye biashara huwa wanaangalia biashara zinazofanyika sasa, na kama wakiona wanaofanya wana wateja, basi na wao huingia na kufanya biashara hiyo. Ni njia rahisi ya kuingia kwenye biashara, ila pia inaweza kumfanya mfanyabiashara ajikute kwenye changamoto kubwa sana hasa pale biashara zinapobadilika, na mara zote

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz