UKURASA WA 334; Kama Kila Kitu Kitashindikana….

By | November 30, 2015
Kama umekutana na changamoto au kikwazo…. Na ukaweka juhudi zako zote katika kutatua changamoto au kuvuka kikwazo hiko, Lakini kila kitu kikashindikana, Kuna dawa moja ya uhakika imebaki. Na dawa hiyo ni muda. Mwisho wa siku muda ni tiba nzuri sana kwa changamoto au kikwazo chochote. Kama utaendelea kukomaa na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz