Njia tano za kukuza biashara yako kwenye msimu huu wa sikukuu.

By | December 16, 2015
Kila mwisho wa mwaka na mwanzo wa mwaka ni kipindi ambacho watu wengi wanakuwa na mapumziko. Ni wakati ambao watu wengi wanakuwa na sikukuu na pia wengi hufanya sherehe zao katika kipindi hiki. Kutokana na hali hii ya mapumziko na sikukuu, watu wengi huwa kwenye hali ya kufanya manunuzi mengi.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz