UKURASA WA 361; Kusema Uongo Na Kutokutoa Taarifa Yote.

By | December 27, 2015
Kusema uongo na kutokutoa taarifa yote ni vitu viwili tofauti kabisa. Na japo ni muhimu sana kusema ukweli, haimaanishi ni lazima utoe taarifa yote. Kuna wakati unahitaji kutoa taarifa kiasi na sehemu nyingine ya taarifa ukaiacha. Hapa hudanganyi, bali unatoa ile taarifa inayomtosha mtu kwa wakati fulani na kuacha nyingine

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz