UKURASA WA 371; Kufanikiwa Sio Kwa Ajili Yako Tu, Kuna Hawa Watanufaika Pia.

By | January 6, 2016
Kuna baadhi ya watu ambao kutokana na maisha waliyopitia wanaamini kufanikiwa sio muhimu kwenye maisha. Na hii pia inaathiriwa na maana ambayo wao wenyewe wameiweka kwenye mafanikio. Naomba tukumbushane jambo moja muhimu, kufanikiwa ni jambo muhimu sana kwenye maisha yako, nasema tena ni jambo muhimu. Haijalishi maana ya mafanikio ni

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz