Mambo Matano(5) Muhimu ya kuzingatia kama umepanga kuanza biashara 2016.

By | January 5, 2016
Mwaka mpya unapoanza watu wengi huwa na mipango mikubwa na mizuri sana. Lakini wengi huishia njiani katika kutekeleza mipango yao hii kutokana na baadhi ya makosa wanayofanya kipindi cha mwanzo wa mwaka kwenye kuweka mipango yao hiyo. Mwaka huu 2016 bado ni mchanga kabisa, na ndio wakati ambao watu wengi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz