UKURASA WA 378; Njia Ya Kweli Ni Moja, Njia Za Uongo Ni Nyingi.

By | January 13, 2016
Nilipokuwa nasoma sekondari, nilikuwa napenda sana somo la hesabu. Usijali kama ulikuwa hulipendi, leo nitakuelekeza kidogo sana, ili tuweze kwenda pamoja. Wakati tupo kidato cha pili, mwalimu wetu wa hesabu alikuwa akitoa mitihani, alikuwa ana mtindo tofauti wa kusahihisha. Kwa somo la hesabu lilivyo, njia unayotumia kufikia jibu lako ina

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz