UKURASA WA 383; Miaka Kumi Ijayo…

By | January 18, 2016
Miaka kumi ijayo hutajivunia ni kwa haraka kiasi gani ulikuwa unajibu jumbe za simu unazotumiwa, au kupokea kila simu iliyokuwa inapigwa. Miaka kumi ijayo hutajivunia ulikuwa kwenye makundi mangapi ya wasap, huenda hata kipindi hiko isiwepo kabisa… Miaka kumi ijayo hutajivunia ni mitandao mingapi ya kijamii umetumia, na ipi mipya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz