FALSAFA MPYA YA MAISHA; Jukumu Muhimu Kwenye Maisha Yako Ambalo Huenda Bado Hujalifanya.

By | January 24, 2016
Tunazaliwa na kuingia kwenye jamii ambapo tunakuta taratibu mbalimbali. Tunakua tukiambiwa fanya hiki, usifanye kile na vingine vingi. Taratibu za kijamii zinatujengea mipaka mingi sana ambayo inaweza kuwa mizuri kwetu au ikawa kizuizi kwetu kuwa na yale maisha ambayo ni bora zaidi kwako. Katika kukua pia tukarithishwa imani ambazo familia

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: FALSAFA MPYA YA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz