BIASHARA LEO; Jinsi Ya Kukabiliana Na Anayekuiga Kwenye Biashara.

By | February 11, 2016
Moja ya vitu ambavyo huwa nawashauri watu kwenye biashara na hata maisha ya kawaida ni kutokushindana. Ndiyo sisi binadamu tunapenda ushindani, lakini kushindana kwenye kazi, biashara na hata maisha ya kawaida huwa sio kuzuri. Sasa kama umeamua kutokushindana lakini ukaanzisha biashara kwa ubunifu wako mwenyewe na ukashangaa baada ya biashara

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz