UKURASA WA 407; Kama Huna Muda Wa Kusoma Hapa, Soma Mara Mbili.

By | February 11, 2016
Tunaishi kwenye dunia ya mwendo kasi, kila kitu kinakwenda kwa kasi kubwa sana. Kwa mwendokasi huu tumeshapata dhana kwamba ukisubiri kidogo tu, unaachwa nyuma. Hivyo tumejikuta wote tunakimbia kimbia wakati mwingine hatuna hata uhakika tunakimbiza nini. Tunakimbia tu ili na sisi tuonekane tupo kwenye mbio. Katika kukimbia huku tumekuwa tunakosa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz