UKURASA WA 415; HISIA…

By | February 19, 2016
Katika matatizo yote unayopitia kwenye maisha yako, naweza kusema asilimia 90 yanasababishwa na hisia. Hisia sio nzuri kabisa kwenye ufanyaji wa maamuzi. Hisia na kufikiri haviwezi kwenda pamoja. Unapokuwa na hisia kali kufikiri kunakuwa chini sana. Na unapoweza kuzishusha hisia zako chini, ndio unaweza kufikiri sawasawa. Hisia ndio zimekuwa zinatufanya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz