BIASHARA LEO; Pumua Biashara Yako…

By | March 10, 2016
Mafanikio kwenye biashara siyo kitu rahisi, ila yanawezekana kama kweli ukijitoa. Na ninaposema kujitoa namaanisha kujitoa kweli kwenye kuifanya biashara yako. Leo nataka kukuambia, pumua biashara yako. Kwa nini upumue biashara yako? Kwa sababu pumzi ndio kitu ambacho huwezi kutengana nacho hata kwa dakika ukabaki salama. Hivi ndivyo ilivyo kwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz