Matumizi ya mitandao ya kijamii kwenye ukuaji wa biashara yako.

By | March 14, 2016
Hakuna anayeweza kukataa kwamba dunia inabadilika, na sio tu kwamba inabadilika, bali inabadilika kwa kasi kubwa sana. Mtandao wa intaneti umegusa kila eneo la maisha, na kwenye biashara ndio umegusa kila eneo la biashara. Wakati mtandao wa intaneti unaanza kukua na kusambaa kwa kasi, watu wengi walifikiri ni kitu ambacho

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz