UKURASA WA 452; Baadaye…

By | March 27, 2016
Baadaye ni njia rahisi ya kujitoa kwenye mvutano mkali unaokuwa nao sasa. Kwenye mvutano kwamba nifanye au nisifanye, njia rahisi ya kujitoa hapo ni kusema nitafanya baadaye. Lakini baadaye ni mara chache sana inatokea tukafanya tulichotaka kufanya, au tukaleta mabadiliko ambayo tunataka kuleta. Baadaye tunayosema huwa haifiki na hata ikifike

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz