Kitu muhimu kwa mteja wako kuliko fedha anayokupa.

By | March 28, 2016
Mara nyingi wafanyabiashara tumekuwa tukijiuliza iwapo bidhaa au huduma tunayomuuzia mteja wetu inaendana na thamani ya fedha anayotoa. Kwa njia hii tumekuwa tunachukulia fedha ya mteja kama ndiyo kitu muhimu sana kwao, na hivyo kuhakikisha hawapotezi fedha zao kwa kufanya biashara na sisi. Ni kweli kabisa fedha ya mteja ni

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz