UKURASA WA 454; Chakula Cha Mawazo Hasi.

By | March 29, 2016
Ni sheria ya asili kwamba chochote kinacholishwa kinakua, na chochote kinachokosa chakula kinadhoofu na kufa. Wote tumewahi kuona watoto wadogo, kadiri anavyopata chakula kizuri, yaani mlo kamili anakua vizuri na kuwa na afya bora. Lakini anapokosa chakula kizuri afya yake inakuwa dhoofu na anaweza kufariki. Sasa mawazo hasi nayo huwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In

Prove your humanity


   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz