Tengeneza mfumo bora wa wafanyakazi kwenye biashara yako.

By | April 4, 2016
Kama unaendesha biashara ndogo ambayo unategemea siku moja ikue, basi jambo kubwa la kuzingatia kuanzia sasa ni kutengeneza mfumo bora wa wafanyakazi kwenye biashara yako. na kama tayari biashara yako ni kubwa, unahitaji kuwa na mfumo bora wa ufanyaji kazi kwenye biashara yako. Jambo hili ni muhimu kwa sababu wafanyabiashara

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz