BIASHARA LEO; Usitumie Biashara Mpya Kuua Biashara Yako Ya Zamani.

By | April 5, 2016
Unapoanza na biashara moja na ukaona inafanya vizuri, unapata mawazo ya kukua zaidi kibiashara, na kufikiria kufungua biashara nyingine mpya. Hili ni wazo zuri sana kwa sababu huwezi kubaki pale pale kwa siku zote, kama mfanyabiashara makini ni lazima ukue. Lakini hapa kwenye ukuaji, hasa wa kuanzisha biashara mpya kuna

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz