UKURASA WA 462; Rahisi Na Sahihi.

By | April 6, 2016
Hakuna wakati mzuri wa kupima ukuaji wetu, kupima maendeleo yetu binafsi kama wakati ambapo tunapitia changamoto. Mambo yanapokuwa shwari hakuna tatizo, kila kitu kinakwenda kilivyopangwa na hata mtu wa kawaida ataonekana ni bora kwenye nyakati hizo. Lakini mambo yanapokuwa magumu, changamoto zinapoibuka, hapa ndipo tunapowajua wale wa tofauti, wale waliojitoa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz