BIASHARA LEO; Makadirio Ya Matumizi Na Faida.

By | April 7, 2016
Unapoweka mipango yako ya kibiashara, ni lazima uwe na makadirio. Na linapokuja swala la fedha kuna makadirio mengi ambayo huwa tunayafanya kama wafanyabiashara. Tunakadiria matumizi yetu ya kibiashara, na pia tunakadiria mapato yetu na faida pia. Kitu kimoja cha kushangaza sana kuhusu makadirio yetu ni kwamba huwa siyo sahihi, karibu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz