UKURASA WA 464; Sehemu Pekee Ya Kusema KAMWE…

By | April 8, 2016
Kuna maeneo mengi sana ya maisha yako ambayo huwezi kutumia neno kamwe. Na hii ni kwa sababu mambo mengi yanaweza kutokea bila ya wewe kuwa na maamuzi ya moja kwa moja. Unaweza kusema kamwe sitofanya kitu fulani, lakini ukajikuta kwenye mazingira ambayo inabidi ufanye. Wazungu wanasema NEVER SAY NEVER. Lakini

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz