UKURASA WA 463; Kondoo Na Mbwa Mwitu…

By | April 7, 2016
Kila kitu unachochagua kufanya kwenye maisha yako kina gharama. Kila hali unayochagua kwenye maisha yako ina gharama. Hii ni sheria ya asili, hivyo ni wewe kuchagua ni gharama gani uliyo tayari kuilipa. Katika maisha tunaweza kuwagawa watu kwenye makundi mawili, na makundi haya yanaendana kisifa na aina mbili za wanyama.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz