BIASHARA LEO; Kuanzisha Biashara Ni Rahisi, Ugumu Uko Hapa…

By | April 13, 2016
Kuanzisha biashara ni rahisi, rahisi mno, unaweza kuanza biashara hata leo hii. Lakini kuanza biashara ambayo itakuwa endelevu na yenye mafanikio makubwa ni kazi ngumu sana. Ni ngumu kwa sababu kuna changamoto nyingi sana kwenye uendeshaji wa biashara yoyote ile. Na ugumu unaendelea kuwepo hata kama utakuwa na mtaji mkubwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz