BIASHARA LEO; Kushinda Mara Zote ni Kubaya Kibiashara.

By | April 15, 2016
Biashara inahitaji akili sana, biashara inahitaji kujua jinsi ya kwenda na akili na hisia za wengine. Na mambo mengi kwenye biashara hutafundishwa darasani wala kwenye mafunzo mengine ya kibiashara, bali utayaona mwenyewe kama utakuwa makini na biashara yako. Kwa mfano inapotokea wateja wanafanya makosa, na ikawa kweli ni makosa ya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz