UKURASA WA 471; Hayupo Mtu Huyu…

By | April 15, 2016
Hayupo mtu ambaye amepita njia uliyopita kwenye maisha mpaka kufika hapo ulipo sasa. Hayupo mtu ambaye amepitia kila changamoto ambayo umeshapitia mpaka kufika hapo ulipo sasa. Hayupo mtu ambaye ameshakutana na watu ambao umeshakutana nao mpaka sasa. Hayupo mtu ambaye ameshajitoa kukosa baadhi ya mambo mazuri kama ulivyojitoa wewe mpaka

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz